Mashindano hayo ni ya 14 kufanyika tangu yaanzishwe mwaka 2005. Rwanda ilikuwa mwenyeji wa mashindano hayo mwaka jana, akizungumza na waandishi wa habari kocha wa timu ya vijana wanaume na wanawake na ile ya wanawake ya wakubwa Nathan Byukusenge amesema maandalizi yanaendelea vizuri na wako tayari kukabiliana na wapanda baiskeli bora Afrika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |