Kamwele alizitaja taasisi hizo kuwa ni Mamlaka ya Bandari (TPA),Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),na Shirika la Reli Tanzania (TRC).
Kamwele aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam wakati wa utiaji saini makubaliano ya ushirikiano kati ya Shirika la Reli Tanzania na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) wa kukarabati mabehewa 40 ambayo yatagharimu $600,000 sawa na Tsh1.13 bilioni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |