Haya ni kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Chama cha Migodi cha Uganda,Dk Elly Kuruhanga.
Akizungumza katika kongamano la wajasiriamali la Stanbic jijini Kampala jana.Dk Kuruhanga alisema wenye biashara ndogo na za kati wanafaa kushirikiana ili wawe na uwezo kabla ya uzalishaji wa mafuta ya biashara unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni.
Kulingana na wataalamu,ubia au ushirikiano,utarahisisha uwekezaji katika sekta hiyo inayohitaji mtaji kubwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |