Hasunga ametoa kauli hiyo leo alipokuwa akizindua mashine maalum ya kusafisha mahindi iliyotolewa na Mpango wa Chakula Duniani (WFP),kwa NFRA ,jijini Dodoma.
Alisema kuna mabadiliko makubwa yanayokuja kufanyika NFRA,kwa kuwa sio kazi tu ya kuhifadhi chakula bali lazima wanunue mazao yote ya ziada kwa wananchi na wakauze.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |