Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bw. Geng Shuang amesema, rais Xi Jinping wa China atafanya ziara katika nchi za Italia, Monaco na Ufaransa kuanzia tarehe 21hadi tarehe 26, mwezi huu.
Rais Xi atafanya mkutano na viongozi wa nchi hizo kuhimiza uaminifu wa kisiasa na ushirikiano katika sekta mbalimbali kati yao ili kusukuma mbele uhusiano kati yao upate maendeleo zaidi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |