Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Bw. Mike Pompeo amesema nchi yake itawasiliana tena na kiongozi mkuu wa Korea Kaskazini Bw. Kim Jong Un kuhusu masuala yanayofuatiliwa kwa pamoja. Bw. Pompeo amesema nchi hizo mbili zinaendelea kusonga mbele licha ya uwezekano mkubwa wa kukumbwa na changamoto kubwa njiani, ambazo zimekuwepo kwa miongo kadhaa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |