Waziri wa fedha na uwekezaji bibi Evelyn Anite, amesema halmashauri hiyo itatoa kipa umbele kwa miradi muhimu inayoendana na mahitaji ya sasa.
Alitaja baadhi ya miradi hiyo kama ujenzi wa eneo jipya viwanda la acre Namanve la ekari 2,200.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |