Baba mzazi wa mchezaji huyo Neymar Senior ameweka wazi kuwa mwanae anaweza kuendelea kuitumikia PSG kwa miaka mingine tena, kauli hiyo imekuja baada ya baba huyo kuweka wazi kupitia mahojiano na UOL Sporte kuwa tayari wameshafanya mazungumzo na PSG ya kuongeza mkataba.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |