Pigano la mwisho la McGregor lilikamilika huku bondia huyo akipoteza wakati alipochabangwa na Khabib Nurmagomedov Oktoba mwaka jana katika raundi ya nne. Na kushinda pambano lake dhidi ya Jose Aldo kwa TKO ndani ya sekunde 13, na baadaye kumshinda Nate Diaz na Eddie Alvarez ulimthibitisha McGregor kuwa bingwa wa mizani miwili.
McGregor ambaye anastaafu akiwa na rekodi ya ushindi wa mapigano 21 na kushindwa mara nne alisema kwa sasa anajiunga na wenzake wa zamani waliostaafu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |