Kenya imeaga mashindano hayo kwa kufungwa magoli 2-0, katika mchezo wa kwanza uliopigwa nchini Sudan, huku Kenya ikishindwa kulipa kisasi katika mchezo wa jana na kuondolewa kwenye michuano hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |