Ghorbal atasaidiana na Mahmoud Abouelgregal kutoka Misri na Mokrane Gourari wa Algeria kwenye mchezo utakaopigwa Jumamosi ya wikiendi hii uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo wa marudiano utachezwa wiki moja baadaye mjini Lubumbashi DRC. Timu hizo mara ya mwisho zilikutana katika hatua ya mtoano mwaka 2011 huku Simba ikipoteza michezo yote miwili.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |