UEFA wamefikia hatua ya kuitoza Chelsea faini ya paundi 11,100 huku Malmo wakitozwa faini ya paundi 49,000 kwa kosa lililofanywa na mashabiki wao kuingia uwanjani wakati Malmo wakipokea adhabu hiyo kutokana na mashabiki wao kurusha miale ya moto uwanjani wakati wa mchezo baina yao ulipokuwa ukiendelea. Chelsea walishinda goli 2-1.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |