Vitabu kadhaa vya fikra za Rais Xi Jinping wa China kuhusu Ujamaa wenye umaalum wa China kwenye zama mpya, vimechapishwa na Idara ya uchapaji ya taasisi ya sayansi jamii ya China. Vitabu vilivyochapishwa vimegawanywa kwenye mada 12, zikieleza umuhimu, mitazamo ya msingi, na mchango alioutoa kwenye Umarx.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |