Katibu wa wizara ya michezo Kirimi Kaberia amesema serikali ya Kenya itaisaidia timu hiyo maandalizi yake ya Brazil katika michuano hiyo ya dunia.
Kenya inaungana na wenyeji wa mashindano ya dunia Brazil pamoja na Hong Kong (Asia), Uruguay (Amerika Kusini), Ureno (Ulaya), Tonga (Oceania) na Japan iliyotemwa kutoka mashindano ya dunia ya daraja ya juu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |