Tanzania imefungwa na wenyeji wao, timu ya taifa ya DRC (the Leopards) katika mchezo wa maruadiano raundi ya kwanza, mchezo uliochezwa uwanja wa Martyrs de la Pentecoste jijini Kinshasa. Kwa matokeo hayo, Tanzania inatolewa kwa jumla ya mabao 3-2 baada ya kulazimishwa sare ya 2-2 Ijumaa iliyopita katika mchezo wa kwanza uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |