Kuelekea kuanza michuano hiyo, Waziri wa habari, utamaduni, Sanaa na michezo wa Tanzania Dkt. Harrison Mwakyembe ameongea na waandishi wa habari jana baada ya kukagua viwanja vitakavyotumika katika kabumbu hiyo.
Naye katibu wa kamati ya maandalizi, Leslie Liunda amebainisha kuwa, hadi kufikia jana, timu za taifa za vijana za Morocco na Cameroon tayari ziliwasili nchini humo, amevitaja nchi zingine zitakazoshiriki michuano hiyo ni Uganda, Angola, Senegal, Guinea, Nigeria na wenyeji Tanzania. Viwanja vya Taifa, Uhuru na Azam Complex vitatumika kwa mashindano hayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |