Chini ya mpango wa hatua hizo wataalam 200 kutoka nchi wanachama watapokea mafunzo kuhusu njia bora zaidi za kuondoa vizuizi vya biashara.
Mpango huo utaendeshwa na baraza la wafanyabiashara wa Afrika Mashariki kwa ushirikiano na kituo cha biashara cha kimataifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |