Barcelona wameendeleza ubabe baada ya kumpiga Man United kwa goli 1-0 lilipatikana kwa Luke Shaw kujifunga baada ya Luis Suarez kupiga kichwa alichopigiwa krosi na Lionel Messi dakika ya 12 ya mchezo,
Man United kama wanataka kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo watalazimika kwenda Nou Camp wiki ijayo kupata ushindi wa kuanzia magoli 2-0, au 2-1 na kuendelea.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |