Hayo yamesemwa bungeni mjini Dodoma na naibu waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo Juliana Shonza, amebainisha kuwa, serikali hiyo inawatambua na kuwaenzi wanamichezo wote ambao wamepeperusha vyema bendera ya taifa hilo kwenye mashindano mbalimbali ya kimataifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |