• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • RAGA: Michuano ya Raga ya wachezaji 7 kila Upande jijini London, Shujaa uso kwa uso na Fiji na Samoa

    (GMT+08:00) 2019-04-16 07:50:04

    Droo ya tisa ya michuano ya mchezo wa raga itakayofanyika jijini London nchini Uingereza imefanyika nchini Singapore huku Kenya imepangwa kundi B pamoja na Fiji, Samoa na Ufaransa. Michuano hiyo itapigwa Mei 25 na 26 mwaka huu.

    Kundi A kina timu za Afrika Kusini, Argentina, Canada na Japan. Kundi C lina timu za New Zealand, Scotland na timu alikwa, huku kundi D lina timu za Marekani, Australia, Wales na Uhispania.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako