Droo ya tisa ya michuano ya mchezo wa raga itakayofanyika jijini London nchini Uingereza imefanyika nchini Singapore huku Kenya imepangwa kundi B pamoja na Fiji, Samoa na Ufaransa. Michuano hiyo itapigwa Mei 25 na 26 mwaka huu.
Kundi A kina timu za Afrika Kusini, Argentina, Canada na Japan. Kundi C lina timu za New Zealand, Scotland na timu alikwa, huku kundi D lina timu za Marekani, Australia, Wales na Uhispania.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |