Idara ya forodha ya Cameroon imekamata tani kadhaa za dawa na mafuta yaliyosafirishwa kwa magendo mjini Douala, katika operesheni yake mpya ya kuzuia wimbi la kuingia kwa dawa na bidhaa "hatari na haramu kutoka nje ya nchi" nchini humo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |