Bunge la Ulaya limepitisha muswada unaozitaka kampuni za internet kufuta maudhui ya ugaidi ndani ya saa moja baada ya kupata agizo kutoka kwa mamlaka husika ili kupambana na itikadi kali na kulinda usalama wa umma. Lakini kwa mujibu wa muswada huo, kampuni hizo haziwajibiki na usimamizi wa taarifa zinazosambaza au kuhifadhi, wala kutafuta shughuli haramu mtandaoni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |