Ikulu ya Russia imetangaza kuwa kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Joing Un, atafanya ziara nchini Russia katika nusu ya pili ya mwezi huu, na kukutana na Rais Vladmir Putin. Ziara hiyo inatokana na mwaliko wa wa upande wa Russia. Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa viongozi hao kukutana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |