Mabao ya Everton yamefungwa na Richarlison dakika ya 13, Sigurdsson dakika ya 28. Hadi kipindi cha kwanza kinaisha, Everton walikuwa mbele kwa mabao 2-0. Kipindi cha pili Everton waliongeza mabao mengine mawili kupitia kwa Digne na Walcott.
Nayo Crystal Palace imechomoza na ushindi wa goli 3-2 dhidi ya Arsenal, huku Liverpool ikiifunga Cardiff City 2-0.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |