Rais Xi Jinping leo amesema, siku za baadaye China itaendelea kupunguza kwa kiasi kikubwa orodha za sekta zisizoruhusiwa kuingiwa kwa uwekezaji wa nchi za nje, na itahimiza shughuli za huduma za kisasa, viwanda vya utengenezaji na kazi za kilimo zifungulie mlango kwa nje kwenye kazi zote, na itaruhusu hisa za sekta nyingi zidhibitiwe na mitaji kutoka nje au kuendeshwa na wawekezaji peke yao kutoka nje.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |