Rais Xi Jinping wa China leo amesema, hatua ya kupanua kufungua mlango ya China ni chaguo la kujiamulia la China kwa ajili ya mahitaji yake ya maendeleo na kufanya mageuzi. Ametoa mwito wa kuzitaka nchi mbalimbali ziweke mazingira mazuri ya uwekezaji, kutendea makampuni ya China, wanafunzi na wasomi wake kwa usawa, na kutoa mazingira ya usawa na kirafiki kwa watu hao kufanya ushirikiano na maingiliano ya kimataifa.
Rais Xi Jinping amesema, China inayofungua mlango zaidi itashirikiana zaidi na dunia, ili kuleta maendeleo na ustawi zaidi kwa China na dunia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |