Bw. Baghdadi amesema ingawa mapambano ya al-Baghouz yamesitishwa, lakini yameonesha uharibifu na ukatili wa nchi za magharibi dhidi ya jumuiya ya waislamu. Ameahidi kuwa mapambano yataendelea kwa muda mrefu. Pia amesema, mashambulizi ya mabomu nchini Sri Lanka ni mapambano ya kulipiza kisasi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |