Ushindi huo wa wekundu wa Msimbazi Simba, umewafikisha alama 72 ikiwa nyuma kwa alama 5 za watani wao wa Jadi Yanga yenye alama 77, bao hilo la Simba limefungwa na Hassan Dilunga dakika za majeruhi baada ya kupokea pasi safi toka kwa Emmanuel Okwi, na kuwaamsha mashabiki wa timu hiyo ambao walikuwa wamekwisha kata tamaa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |