Timu ya Uganda imewasilia jana usiku nchini humo tayari kupeperusha bendera ya Uganda katika michuano hiyo huku kocha wa timu hiyo Katsuhisa Tanaka ameweka wazi ari waliyonayo ya kuondoka na kombe hilo.
Bingwa wa michuano hiyo atawakilisha bara la Afrika katika mashindano ya kufuzu michuano ya Olimpiki kati ya Ulaya na Afrika yatakayoanza Septemba 18 hadi 22 nchini Italia kabla ya kuelekea michezo ya Olimpiki itakayofanyika mwakani nchini Japan.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |