Barcelona walionekana kuzidiwa zaidi na Liverpool katika eneo la kiungo lakini baadae Lionel Messi aliamua matokeo ya mchezo huo kwa kubadilisha hali ya hewa ghafla baada ya kufunga magoli mawili ya ushindi dakika ya 74 na 81 na kuufanya mchezo huo uliyochezwa usiku wa kuamkia leo kumalizika kwa Barcelona kupata ushindi wa bao 3-0.
Matokeo hayo sasa yataifanya FC Barcelona isafiri hadi Anfield kutafuta sare, ushindi au kufungwa kwa chini ya magoli matatu ili waingie fainali,
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |