Benki ya dunia imeidhinisha mkopo wa dola milioni 250 ili kusaidia serikali ya Kenya kuanzisha mfuko wa kununua nyumba za bei nafuu.
Serikali sasa kwa kutumia fedha hizo iytaanzisha shirika la mikopo ya nyumba. na kusaidia
Shirika hilo litaanza oparesheni baadaye mwezi Juni hasa likilenga wakaazi wa kipato cha chini na kile cha watani.
Kwenye muhula wake wa pili, rais wa Kenya Uhuru Kenyatta alitangaza ujenzi wa nyumba za makaazi 500,000 ndani ya miaka 5 ili kukabili upungufu uliopo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |