Lucas Noura amefunga bao la ushindi dakika ya 96 ya mchezo na kusaidia timu yake kuwalaza miamba hiyo ya Uholanzi kwa mabao 3-2.
Hii itakuwa ni fainali ya pili inayoziweka pamoja timu mbili za Uingereza, baada ya Manchester United kuipiku Chelsea kupitia mikwaju ya Penalti mjini Moscow mwaka 2008.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |