Man City imemaliza ligi kwa kunyakua alama 98 moja zaidi ya Liverpool waliomaliza nafasi ya pili ambapo jana nao waliwachabanga Wolverhampton Wanderers magoli2-0, huku Chelsea imekamata nafasi ya tatu imelazimishwa suluhu ya 0-0 dhidi ya Leicester City.
Tottenham imeambulia nafasi ya nne katika msimamo wa ligi hiyo baada ya kumaliza msimu kwa sare ya goli 2-2 na Everton. Manchester United imeangukia pua baada ya kukubali kipigo cha 2-0 toka kwa Cardiff City, Newcastle United imeicharaza Fulham goli 4-0.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |