Kutokana na mapato hayao, faida ya utendaji au faida kabla ya kodi, ilifika Sh 115.33 bilioni kutoka Sh 88.9 bilioni iliyopta mwaka jana, lakini faida halisi ikashuka kutoka Sh 170.24 bilioni iliyopatikana mwaka jana hadi Sh 90.76 bilioni mwaka huu.
Faida halisi kubwa ya mwaka jana, tarifa zinaonyesha ilichangiwa na mauzo ya mali ya kudumu na si shughuli za biashara za kampuni hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |