Na hivi ndivyo mambo yalivyokuwa, mchezo ulitangazwa na kituo cha Runinga cha Sky Sports cha nchini Marekani
Baada ya Wilder kumpiga ngumi moja Brazeale na kuanguka chini na kushindwa kuendelea na pambano hilo, hivyo ushindi huo unamfanya Wilder kuendelea kutetea ubingwa wake wa WBC uzito wa juu, ushindi huo wa Wilder unakuwa ni ushindi wake wa 40 wa KO katika mapambano yake 42 aliyocheza.
Mara baada ya mpambano huo, Wilder amewataja Anthony Joshua pamoja Tyson Furry wapo kwenye mipango yake na atawapitia kama upepo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |