Hii inamaanisha kamouni hiyo itaanzisha makao yake makuu Kigali, na kuwawezesha kutumikia maeneo kama sekta ya kifedha, makampuni ya mawasiliano ya simu, huduma za afya, viwanda, , na sekta ya umma.
Kwa uzoefu wa zaidi ya miaka 10, wafanyakazi 600 na mauzo ya dola milioni 35 mwaka 2018, VSONE kwa sasa inatoa bidhaa na huduma mbalimbali katika sekta ya umma, benki, fedha na Bima.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |