Mbappe ambaye amemaliza ligi kwa kufunga jumla ya magoli 30, amekuwa mchezaji wa kwanza mwenye umri mdogo kutwaa tuzo hiyo kwa misimu mitatu. Mwaka 2017 alipewa tuzo baada ya kushinda ligi 1 akiwa na klabu ya Monaco.
Mchezaji wa zamani wa Ivory Coast na nyota wa Chelsea, Didier Drogba amepata tuzo ya mchango kwa jamii.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |