Arsenal imetoa taarifa hiyo rasmi, ikieleza kuwa sababu za kiusalama kwa, Muarmenia Mkhitaryan ndio zimepelekea kumtoa kwenye kikosi.
Tayari shirikisho la soka barani Ulaya (UEFA) wameshajibu maombi ya Arsenal na limeeleza kuwa maombi hayo ni ya sababu za mtu binafsi hivyo wamemkubalia bila hiyana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |