Serikali ya Yemen imetangaza kuwarudisha nyumbani awamu ya kwanza ya wahamiaji haramu 124 wa Afrika wanaotaka kurejea nchini kwao kwa hiari. Shirika la habari la Yemen Saba limeripoti kuwa zoezi hilo limefanyika kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Uhamiaji IOM na wadau wengine kuendana na sheria na kanuni husika za kimataifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |