Serikali imewataka madereva wa Taxi kutumia teknolojia mpya ya mita za elktroniki ili kujifaisha zaidi na pia kuvutia wateja.
Hilo linajiri wakati ikibainika kuwa madereva wengi wanatumia njia ya zamani ya kujadili nauli kati yao na wateja.
Mamlakaya kuthibiti mawasiliano na nyombo husika nchini humo RURA imesema ni asilimia 30 tu ya madereva wanaotumia mita za kielektroniki.
Hata hivyo madereva wanalalamikaa kuwa asilimia 10.5 ya ushuru inayotozwa kwa kutumia mita hizo ndio sababu inayopelekea wengi kutozitumia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |