Hatimaye kimeeleweka, majogoo wa Anfield Liverpool, wamechukua ubingwa wa Ulaya baada ya kuifumua Tottenham Hotspurs bao 2-0 katika mchezo wa fainali uliopigwa usiku wa kuamkia Jumapili jijini Madrid Uhispania.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |