Mechi hiyo ilikutanisha nyota wa mpira wa miguu wa Afrika mashariki akiwemo Jerry Santo wa Kenya, Meddie Kagere na Haruna Niyonzima wa Rwanda, Emmanuel Okwi wa Uganda na wengine wa Tanzania, iliandaliwa na Mbwana Samatta kushirikiana na msanii wa muziki nchini humo Ali Kiba.
Mchezo huo ulioteka hisia za watu wengi ni moja ya mradi wa kusaidia jamii wa taasisi ya SamaKiba inayoundwa na Mbwana Samatta na Ali Kiba.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |