Mkurungezi wa Shelter Afrique Andrew Chimphondah amesema wanahitaji shilingi bilioni 35 kama sehemu ya mtaji wa biashara.
Amesema tangu mwaka 2013 kuna baadhi ya wadau ambao hawajalipa mgao wao wa mtaji na deni hilo sasa linafikia shilingi bilioni 9.8.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |