Taarifa kutoka FIFA zimeeleeza kuwa, Ahmad alishikiliwa kwa mahojiano kutokana na madai ya kuhusiana na majukumu yake kama rais wa CAF.
Ahmad mwenye umri wa miaka 59, alichukuliwa mapema jana alfajiri na kuhojiwa na maafisa wa polisi wa Ufaransa wanaokabiliana na uhalifu wa kifedha, ufisadi na unyanyasaji, kulingana na vyombo vya habari vya Ufaransa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |