Michuano ya ligi ya Afrika yatafanyika mjini Kigali Rwanda huku ujenzi wa uwanja mkubwa utakaotumika kwa michuano hiyo unaendelea, uwanja huo wa kisasa utakuwa na uwezo wa kubeba mashabiki 10,000 .
Mataifa yatakayoshiriki michuano hiyo ni wenyeji Rwanda, Angola, Misri, Kenya, Morocco, Nigeria, Senegal, Afrika Kusini na Tunisia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |