• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Mwendesha mashtaka wa Rwanda ahimiza Burundi kushughulikia wahalifu 6,000 wa mauaji ya kimbari

    (GMT+08:00) 2019-06-07 09:47:11

    Mwendesha mashtaka mkuu wa Rwanda Jean Mutangana ameihimiza Burundi kushughulikia watu waliohusika na mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 dhidi ya Watutsi. Hadi sasa, Burundi haijawafikisha karibu watu 6,000 wanaotuhumiwa kuhusika na mauaji hayo mbele ya sheria. Mutangana amesema Rwanda inafikiria kushirikiana na polisi wa kimataifa (Interpol) kuwakamata watu hao watakapotoka nje ya nchi yao. Mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 yalisababisha vifo vya watu karibu milioni moja, wengi wao wakiwa ni watutsi.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako