Wataalamu wa Usalama wa Chakula wana wasiwasi juu ya kushuka kwa bajeti ya sekta ya kilimo licha ya sekta kuchangia zaidi kwa uchumi wa Kenya.
Kulingana na Uchunguzi wa Uchumi 2019, sekta ya kilimo inachangia asilimia 25 kwa Pato la Taifa.
Serikali imetenga rasilimali nyingi za kilimo ili kukuza wakulima wakubwa na mauzo ya nje hatua ambayo inaumiza wakulima wadogo ambao huzalisha angalau asilimia 70 ya chakula kwa nchi.
Sera za fedha za kilimo zinaweka msisitizo juu ya mkakati wa mauzo ya kitaifa ya nje kuliko huru wa kitaifa wa chakula.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |