Mara baada ya kutua nchini humo, nahodha wa timu hiyo Mbwana Samatta amesema hakuna kulala wako tayari kwa maandalizi ya mechi zijazo za kirafiki kwani zitawaweka sawa zaidi, na hwajaenda Misri kutalii licha ya kuwa ushindani wa kundi lao utakuwa mkali sana kutokana na kila timu kuwa na wachezaji wenye uzoefu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |