Mhispania huyo alishinda taji hilo la Grand Slam kwa mwaka wa tatu mflulizo huko Roland Garros baada ya kumtandika Thiem kwa seti 6-3, 5-7, 6-16 na 6-1 katika fainali iliyokuwa na upinzani mkali.
Taji hilo ni la 18 katika historia yake ya kunyakua mataji makubwa kwenye mchezo huo tangu aanze kucheza, huku akiwa amezidiwa na mataji mawili tu na Mswidishi Roger Federer, upande wa michuano ya wazi ya Ufaransa, Nadal amekuwa mchezaji wa kwanza kushinda taji hilo mara 12.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |