Waziri huyo amesema hayo wakati akiwasilisha bungeni bajeti ya mwaka 2019/20 ya shilingi trilioni 3.1.
Licha ya bejeti hiyo kuwa kubwa, Rorich amesema kuna watu au biashara nyingi ambazo hukwepa kulipa uuhuru na hivyo kuisababishia serikali mwanya.
Ushuru wa kawaida, faini za mahakma, malipo ya huduma za serikali, ruzuku na kodi za nyumba zinatarajiwa kuiletea serikali asilimia 88 ya fedha za bajeti hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |